Watu wawili wameuawa katika mashambulizi ya guruneti mjini Kigali Rwanda.
Mwathiriwa wa kwanza alifariki katika shambulizi la kwanza lililotokea Ijumaa katika soko moja mjini humo.Shambulizi hili pia liliwajeruhi watu 14 kwa mujibu wa taarifa za polisi.
Guruneti lengine lililipuliwa katika eneo hilohilo Jumamosi na kumuua mtu wa pili huku