Alhamisi, 28 Agosti 2014

LIVE KUTOKA UKUMBI WA TAZARA MBEYA...MKUTANO MAALUMU WA UCHAGUZI TAZARA MBEYA SACCOS LTD

 Hawa ndiyo waliopita katika kinyang'anyilo cha kamati simamizi...kutoka kulia ni ndg Yunus Bashange..Peter Mushi na Rosemary Kinyaga
 Waliko mbele yenu ni wagombea nafasi ya ujumbe wa bodi ya chama...kila moja anajieleza kwa nafasi yake ili apate KURA kwa wanachama

 Afisa Ushirika Bi Masuba akitoa maelekezo namna wanachama wanatakiwa kupiga KURA


endelea kufuatilia matukio zaidi

LIVE MUDA HUU...LEO KATIKA MATUKIO NA BLOG YAKO YA KIJAMII...WANACHAMA WA TAZARA MBEYA SACCOS WAFANYA UCHAGUZI WA VIONGOZI WAO

Bi Masuba afisa ushirika mkoa wa Mbeya...kushoto kwake ni Meneja wa chama cha TAZARA MBEYA SACCOS LTD...Bwa Philemon Kaduma

 afisa ushirika mkoa wa mbeya Bi Masuba akifafanua baadi ya Ajenda za mkutano huu wa uchaguzi





Hawa ni baadhi ya wanachama wa TAZARA MBEYA SACCOS LTD wakisikiliza kwa makini
endelea kufuatilia
 hawa ni wagombea wa nafasi ya kamati simamizi...kutokaka kulia ni ndg Yunus Bashange, Bethuel Kagimbo, Rosemary Kinyaga na Peter Mushi


endelea kufuatilia

Jumatatu, 18 Agosti 2014

EBOLA...WAGONJWA WALIOTOROKA WATAFUTWA



Mmoja wa wanaume waliovamia kituo hicho na kumbeba mgonjwa
Kituo kilichotengwa na kuwekewa kwa sababu ya kutoa matibabu kwa wagonjwa wa Ebola, kimeshambuliwa na zana kuporwa katika mji mkuu wa Liberia, Monrovia.
Watu kama 20 hadi 30 waliowekwa hapo kuangaliwa kama wana dalili za Ebola walitoroka baada ya kituo hicho kuporwa Jumamosi usiku.
Kituo kiko kwenye mtaa wa West Point, wenye wakaazi wengi.
Washambuliaji walipora magodoro na vitu vingine.
Mwandishi wa BBC katika kanda hiyo anasema pengine washambuliaji walikerwa kuwa kituo hicho kimewekwa katika mtaa wao.
Mafisa wakuu nchini Liberia wanajaribu kuwatafuta wagonjwa waliotoroka ili kuwarejesha tena kwenye kituo hicho.
Watu zaidi ya 400 wamekufa kwa sababu ya ebola nchini Liberia kati ya zaidi ya 1,000 katika kanda ya Afrika Magharibi.

Jumatatu, 11 Agosti 2014

unataka kuona nini kilitokea siku ya nane nane viwanja vya mwakangale mbeya?

TUKIO KATIKA PICHA: KUMEKUCHA NANE NANE MBEYA KUMEKUCHA YAWAVUTA WENGI !

Hapatoshi Nane nane .... Full mamia ya watu .. 
 Kila mtu na lake...
 Madogo nao hawapo nyuma.... kila mtu lake...
Nyama choma nao wapo....