Ijumaa, 25 Oktoba 2013

MATUKIO KATIKA PICHA

WAZIRI MKUU MH. MIZENGO PINGA AKIPOKEA SANAMU YA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA HAINAN KUTOKA KWA M/KITI WA CHINA WA SHIRIKA HILO CHEN FENG YALIYOFANYIKA HUKO MJINI GUANGZHOU CHINA
RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MH. JAKAYA KIKWETE (KULIA) AKIPEWA TAARIFA FUPI KUTOKA KWA KARANI WA MIKUTANO YA BUNGE MH. THOMAS KASHILILA ALIPOTEMBELEA MDAHALO WA BUNGE MJINI DODOMA
WASAMARIA WEMA WAKIWA WAMEMBEBA MFANYABIASHARA WA JIJI LA DSM NDG GELAS URASSA ALIYEKUWA AKIENDESHA PIKIPIKI NA KUPATA AJALI NA KUPELEKEA MGUU WAKE WA KULIA KUVUNJIKA
RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MH. JAKAYA KIKWETE AKIONGESHA KWENYE KILELE CHA MWINUKO WA KILIMA LIGANGA SEHEMU AMBAYO KAMPUNI MOJA KUTOKA CHINA ITACHIMBA MABILION YA MAKAA YA MAWE NA MADINI YA CHUMA KWA KIPINDI CHA MIAKA 100 IJAYO.
MRADI HUO UANAPATIKANA WILAYA YA LUDEWA MKOA WA NJOMBE NA KUWANUFAISHA WAAJILIWA ZAIDI YA 32 ELFU.
MH. MZENGO PINDA WAZIRI MKUU WA TANZANIA AKIKAGUA MRADI WA UMWAGILIAJI DUJIANGYAN HUKO CHENGDU  KATIKA ZIARA YA KIMATAIFA NCHINI CHINA

Endelea kuwa nami katika blog ya kijamii na matukio.........!

WANANCHI WA MADAGASCAR HAWAKUNGOJA KUAMBIWA...WAJITOKEZA KUCHAGUA KILICHO BORA

 
Harakati za kampeni kabla ya uchaguzi wa Rais Madagascar
Wananchi wa Madagascar wanapiga kura hii leo katika uchaguzi wa kwanza kufanyika nchini humo tangu yalipofanyika mapinduzi yaliyoungwa mkono na jeshi miaka minne iliyopita.
Wagombea 33 wanawania urais wa nchi hiyo katika uchaguzi huo, ambao umeahirishwa mara tatu mwaka huu.
Wagombea wawili wanaopewa nafasi ya kushinda, wanaahidi kujenga upya uchumi wa Madagascar baada ya miaka ya mgogoro wa kisiasa na kiuchumi.
Kwa mujibu wa Benki ya Dunia, zaidi ya asilimia 92% ya wananchi milioni 21 wa Madagascar wanaishi chini ya dola mbili kwa siku.
Rais Andry Rajoelina alimng'oa madarakani Marc Ravalomanana mwaka 2009, na kulitumbukiza taifa hilo katika mgogoro mkubwa wa kisiasa na kusababisha nchi hiyo kutengwa na jumuiya ya kimataifa na kunyimwa misaada kutoka nje.
 MVUTANO WA KISIASA
Baada ya kupora madaraka, Bwana Rajoelina alitangaza kuwa kungekuwa na katiba mpya na uchaguzi kufanyika ndani ya miezi 24.
Mwezi Mei mwaka 2009 ilikubalika kuwa marais wote wa zamani wangeruhusiwa kugombea katika uchaguzi. Hata hivyo hilo halikufanyika mwaka 2009 au 2010.
WAGOMBEA URAIS WALIOENGULIWA KWENYE KINYANG'ANYIRO
Mwezi Januari mwaka huu Bwana Rajoelina na Bwana Ravalomanana wote walikubali kutogombea katika uchaguzi huu, ikiwa ni makubaliano na Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika, SADC, chombo cha kikanda ambacho Madagascar ni moja ya nchi wanachama wake.
Awamu ya kwanza ya uchaguzi huu, ulipangwa kufanyika Julai 2013 lakini ukasogezwa mbele hadi mwezi Agosti kwa sababu mke wa Bwana Ravalomanana, Lalao - na baadaye Bwana Rajoelina mwenyewe kuamua kugombea, hali iliyosababisha nchi wahisani kusitisha fedha kwa ajili ya uchaguzi huo.
Bwana Rajoelina na Lalao Ravalomanana walizuiwa kugombea na mahakama ya uchaguzi pia ilimwondoa katika orodha ya wagombea, rais wa zamani Didier Ratsiraka baada ya wote watatu kukataa kujiondoa.

Alhamisi, 24 Oktoba 2013

WANACHAMA WA CHAMA CHA AKIBA NA MIKOPO TAZARA MBEYA WAFANYA MKUTANO WAO WA 20

HIZI NDIZO OFISI ZA CHMA CHA AKIBA NA MIKOPO TAZARA MBEYA
MENEJA WA CHAMA NDUGU PHILEMON KADUMA AKISOMA AJENDA ZA MKUTANO
HAWA NI KAMATI SIMAMIZI YA CHAMA
KUSHOTO NI NDG YUNUS BASHANGE (M/KITI)
KATIKATI NI NDG ROSEMARY KINYAGA (KATIBU) NA
KULIA NI NDG BETHUEL KAGIMBO (MJUMBE)
MEZA YA URATIBU WA MAMBO YA MKUTANO WA CHAMA
 MWAKILISHI KUTOKA OFISI ZA USHIRIKA JIJI LA MBEYA NDG ISACK MPANGALA AKIONGEA NA WANACHAMA
WANACHAMA WAKIFUATILIA KWA MAKINI AJENDA ZA MKUTANO
MOJA YA WAJUMBE WA CHAMA NDUGU ISACK SAGUDA AKICHANGIA HOJA ZA MKUTANO MKUU
MWANDISHI WA HABARI WA STAR TV NDG FREDRICK BAKALEMWA AKICHUKUA MATUKIO YA MKUTANO
AFISA MAHUSIANO CRDB NDUGU MANOTA AKITOA UFAFANUZI JUU YA KUKOPA MIKOPO KWA BUSA KWA WANACHAMA KUTOKA TAASISI ZA FEDHA
BAADHI YA WAJUMBE KUTOKA MATAWI MABLIMBALI YA CHAMA
MHASIBU WA CHAMA NDG ELIKANA KAGOMA AKITOA UFAFANUZI WA HESABU ZA CHAMA KWA WANACHAMA
MWENYEKITI WA KAMATI YA MIKOPO NDG VERAND SWAI AKITOA TAARIFA FUPI KWA WANACHAMA JUU YA MWENENDO WA MIKOPO CHAMANI
MWENYEKITI KAMATI SIMAMIZI NDG YUNUS BASHANGE AKISOMA TAARIFA FUPI YA KAMATI SIMAMIZI KWA WANACHAMA
MKAGUZI MKUU WA HESABU WA NJE NDG YAWAYAWA AKISOMA HESABU ZA CHAMA ZILIZOKAGULIWA MWAKA 2012 AKISOMA TAARIFA YA UKAGUZI KWA WANACHAMA
AFISA USHIRIKA JIJI LA MBEYA MAMA MASUBA AKISOMA AJENDA YA UCHAGUZI NA WAFUATAO WALIMAMA KUJINADI NA KUOMBA KURA ZAO MBEYA YA KADAMNASI
SONNY MWASELELA ( KUSHOTO), PETER MUSHI WAPILI (KUSHOTO), YUSTACK KALUMYANA WA PILI (KULIA) NA MWAKILISHI WA JOSHUA SALEHE NDG SHAIBU KAOSELA (KULIA)





WAWAKILISHI WAKIHESABU KURA
 AFISAH USHIRIKA AKITANGAZA WASHINDI
 WASHINDI WETU NI YUSTACK KALUMYANA (KUSHOTO) NA PETER MUSHI KULIA
 BAADA YA HAPO HATUA ILIYOFUATA NI KUFANYA UCHAGUZI KUMPATA MWENYEKITI WA CHAMA NA BODI NZIMA YA CHAMA
 HAWA NI BAADHI YA WAJUMBE WA BODI YA CHAMA WAKIJINADI KWA WANACHAMA
 MCHAKATO WA KUPATA MWENYEKITI WA CHAMA UNAENDELEA



 KURA ZIKIHESABIWA
 AFISA USHIRIKA ALIYEPEWA JUKUMU KUBWA LA KUSIMAMIA UCHAGUZI HUO AIKTANGAZA MATOKEO
 NA NDUGU ALLY MKAMI (KATIKATI) ALIIBUKA KIDEDEA KWA KUPATA KULA 516 NA HATIMAYE KUWA MWENYEKITI WA CHAMA
 BAADHI YA WANACHAMA WALIPITA MBELE NA KUMPONGEZA



MWENYEKITI WA CHAMA AKITOA SHUKRANI ZAKE ZA DHATI KWA UAMUZI WA

WANACHAMA KUMKABIDHI MAJUKUMU HAYO MAZITO YA KUKIONGOZA CHAMA

KUTOKA HAPA KILIPO NA KUENDELEA

NA BAADA YA HAPA ALIAHIRISHA MKUTANO MPAKA MWAKANI

WATAKAPOTANGAZIWA TENA

MENGI YALIZUNGUMZWA IKIWA NI PAMOJA NA UJEZI WA MRADI WA HOSTEL ZA

 CHAMA, KUFANYA SHUGHULI ZA CHAMA KUENDANA NA SAYANSI NA TEKNOLOJIA

NA KUWAASA WANACHAMA KUNUNUA HISA KWA WINGI ILI KUWEKEZA NDANI YA

CHAMA HICHO ILI WAWEZE KUWA WAMILIKI HALALI WA CHAMA NA MALI ZAKE

PICHA ZOTE NA FREE MEDIA TO BLOGS