Jumamosi, 29 Novemba 2014

LIVE: KUTOKA UWANJA WA NDEGE WA JULIUS NYERERE...MH. RAIS AWASILI SALAMA NCHINI TANZANIA KUTOKA NCHINI MAREKANI KWA MATIBABU

Photo: #HABARI Rais Jakaya Kikwete awasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere akitokea nchini Marekani kwa matibabu. Apokelewa na wakazi wa DSM

Anaongea na waandishi wa habari pamoja na wananchi waliopo uwanjani 

@jmkikwete : Waambieni watanzania kuwa nimerudi na afya nzuri ingawa bado najiuguza sehemu niliyochanwa.

@jmkikwete : Nimefanyiwa upasuaji wa tezi dume, Tezi ambayo wanayo wanaume pekee wanawake hawana,si Busha kwa inavyosemekana 

@jmkikwete : Ni kawaida yangu kufanya uchunguzi wa afya, hata mwaka 1984 nilipotoka China, nilifanya ukaguzi wa vyote

@jmkikwete : Ni kawaida yangu kufanya uchunguzi wa afya, hata mwaka 1984 nilipotoka China, nilifanya ukagauzi wa vyote

@jmkikwete : Wasukuma wanaamini kuwa ni ugonjwa ule wa kula madafu, siyo hivyo

@jmkikwete : Tulishauriana na madaktari, tukakubaliana kufanya upasuaji katika hospitali ya Johns Hopkins ambao ni mabingwa

@jmkikwete : Kwa upande wangu hali niliyokuwa nayo ni hatua ya Kwanza ya Saratani ambayo inatibika kwa upasuaji 
 Rais Jakaya Kikwete awasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere akitokea nchini Marekani kwa matibabu. Apokelewa na wakazi wa DSM

Anaongea na waandishi wa habari pamoja na wananchi waliopo uwanjani

  • jmkikwete : Waambieni watanzania kuwa nimerudi na afya nzuri ingawa bado najiuguza sehemu niliyochanwa.

  • jmkikwete : Nimefanyiwa upasuaji wa tezi dume, Tezi ambayo wanayo wanaume pekee wanawake hawana,si Busha kwa inavyosemekana

  • jmkikwete : Ni kawaida yangu kufanya uchunguzi wa afya, hata mwaka 1984 nilipotoka China, nilifanya ukaguzi wa vyote

  • jmkikwete : Ni kawaida yangu kufanya uchunguzi wa afya, hata mwaka 1984 nilipotoka China, nilifanya ukagauzi wa vyote

  • jmkikwete : Wasukuma wanaamini kuwa ni ugonjwa ule wa kula madafu, siyo hivyo

  • jmkikwete : Tulishauriana na madaktari, tukakubaliana kufanya upasuaji katika hospitali ya Johns Hopkins ambao ni mabingwa

  • jmkikwete : Kwa upande wangu hali niliyokuwa nayo ni hatua ya Kwanza ya Saratani ambayo inatibika kwa upasuaji

Hakuna maoni: