Jumatano, 26 Novemba 2014

NEWS ALERT: MAHAKAMA KUU IMESIMAMISHA MJADALA WA RIPOTI YA ESCROW KUJADILIWA BUNGENI UPDATES:


Tumepata taarifa muda huu kutoka kwa mtu aliyeko Mahakama Kuu kuwa 
 
kutokana na taarifa iliyokuwa inaelezwa kuwa jopo la majaji watatu wa 
 
Mahakama Kuu watasikiliza kesi iliyofunguliwa na IPTL na PAP kuzuia bunge 
 
kujadili suala la Escrow.



Imeamriwa na Mahakama Kuu chini ya jopo la majaji watatu kuwa 
 
wamesimamisha mjadala wa Ripoti ya Escrow hadi hoja za msingi zitakapo 
 
fanyiwa kazi.
CHANZO: ITV TANZANIA

Hakuna maoni: