Alhamisi, 12 Septemba 2013

Vingozi wa dini watoa Fatwa kwa Al Shabaab



Wapiganaji wa kiisilamu al shabaab
Takriban viongozi 160 wa kidini nchini Somalia wametoa kauli au Fatwa inayolaani kundi la al-Shabab, wakisema kuwa kundi hilo haliruhusiwi kabisa katika dini ya kiisilamu.
Wadadisi wanasema kuwa ni mara ya kwanza kwa viongozi wa kidini nchini Somalia kutoa Fatwa aina hiyokulaani kundi hilo ambalo linadhibiti maeneo mengi ya vijijini na mijini.
Katika kongamano kuhusu tatizo la itikadi kali mjini Mogadishu, wasomi hao walisema