Jumanne, 31 Desemba 2013

NCHI YA MISRI NAYO ILIKUMBWA NA MISUKOSUKO YA HATARI MWAKA 2013

http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2012/12/13/121213160413_egypt_sergey_ponomarev_976x549_sergeyponomarev.jpg 
Wanajeshi wa Misri wanashika doria katika baadhi ya miji mikubwa ambapo maandamano yanafanyika kupinga au kuunga mkono kura ya maoni kuhusu rasimu ya katiba itakayofanyika siku ya Jumamosi
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2012/12/13/121213152614_egypt_sergey_ponomarev_976x549_sergeyponomarev.jpg
Wanajeshi wameruhusiwa kuchukua hatua dhidi ya waandamanaji watakaozua rabsha 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2012/12/13/121213152724_egypt_sergey_ponomarev_976x549_sergeyponomarev.jpg 
Katika mji wa Alexandria ambao ni mji wa bandarini , wananchi asubuhi ya leo walianza kuandamana kuipinga katiba lakini polisi walikuwepo kuwazuia
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2012/12/13/121213152807_egypt_sergey_ponomarev_976x549_sergeyponomarev.jpg
Maandamano yalianza baada ya mhubiri mmoja katika msikiti mmoja kuwashauri waumini kupigia kura ya ndio katiba 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2012/12/13/121213152850_egypt_sergey_ponomarev_976x549_sergeyponomarev.jpg
Waandamanaji mahasimu hawajachoka tangu mapema wiki hii walipoanza kuandamana wakipinga katiba ya rais Morsi huku wengine wakiiunga mkono
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2012/12/13/121213153352_egypt_sergey_ponomarev_976x549_sergeyponomarev.jpg
Waandamanaji wengi wanasema kuwa wataipinga katiba hiyo
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2012/12/13/121213155901_egypt_sergey_ponomarev_976x549_sergeyponomarev.jpg
Hawakutaka kuondoka hata baada ya jeshi kuamrishwa kuwakamata wale watakaokiuka sheria, agizo ambalo wengi wamelitafsiri kama Misri kurejea katika enzi ya kidikteta
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2012/12/13/121213161104_egypt_sergey_ponomarev_976x549_sergeyponomarev.jpg
Wengi walikesha katika medani ya Tahrir kuelezea kero lao dhidi ya katiba mpya

JE, UNAIKUMBUKA HII SIKU AMBAPO PAPA BENEDICT WA XVI ALIAGWA RASMI NA WAUMINI WA KIKATOLIKI DUNIANI?

http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/02/27/130227150951_st_peters_sq_getty.jpg 
 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/02/27/130227150949_rosary_reuters.jpg

http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/02/27/130227150944_pope_afp.jpg 
 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/02/27/130227150942_popemobile_afp.jpg

http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/02/27/130227150940_pope_3_reuters.jpg 
 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/02/27/130227150938_flag_afp.jpg

http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/02/27/130227141257__66099839_66099838.jpg 
 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/02/27/130227150934_banner_reuters.jpg

http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/02/27/130227150936_cardinals_getty.jpg 
 
ENDLEA KUFUATILIA MATUKIO ZAID YA HAYA KWA MWAKA 2013
 

HII ILITOKEA HUKO OKLAHOMA AMBAPO WATOTO TAKRIBANI 20 WALIPOTEZA MAISHA

http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/05/21/130521041411_oklahoma_01_ap_g976.jpg 

http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/05/21/130521082602_oklahoma_tornado_976x549_reuters.jpg 
 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/05/21/130521043411_oklahoma_tornado_6_.jpg

http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/05/21/130521055539_tornado_oklahoma_976x549_reuters.jpg 
 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/05/21/130521082005_oklahoma_tornado_976x549_ap.jpg

http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/05/21/130521082152_oklahoma_tornado_976x549_ap.jpg 
 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/05/21/130521082259_oklahoma_tornado_976x549_getty.jpg

http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/05/21/130521082344_oklahoma_tornado_976x549_reuters.jpg 
 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/05/21/130521082429_oklahoma_tornado_976x549_reuters.jpg

http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/05/21/130521082525_oklahoma_tornado_976x549_reuters.jpg 
 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/05/21/130521003743_sp_galeria_oklahoma6_976x549_reuters.jpg

http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/05/21/130521003530_sp_galeria_oklahoma2_976x549_ap.jpg 
 
JE UNA KIPI CHA KUISHAURI BLOG HII KIBORESHWE KWA AJILI YA KUENDELEA KUKUHABARISHA HAPO MWAKA 2014?


MOJA YA MATUKIO YA KUSIKITISHA SANA KWA MWAKA 2013 NI MAUAJI YA NGOME YA HEZBOLLAH

http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/11/19/131119115932_blast_afp-1.jpg 
Takriban watu 22 wameripotiwa kufariki katika milipuko miwili ambayo ililenga ubalozi wa Iran mjini Beirut, mji mkuu wa Lebanon
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/11/19/131119115934_blast_afp-2.jpg
Afisaa mmoja mkuu katika ubalozi huo Ebrahim Ansari alikuwa miongoni mwa waliofariki. Maafisa wamesema kuwa idadi ya waliofariki huenda ikaongezeka
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/11/19/131119115936_blast_ap-3.jpg
Picha nyingi za mashambulizi hayo zilionyesha magari yakiteketea pamoja na miili ya watu ikiwa imetapakaa kwenye barabara za eneo hilo. Majumba pia yaliharibiwa vibaya
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/11/19/131119115938_blast_ap-4.jpg
Iran inaunga mkono kundi la wapiganaji wa kiisilamu la Hezbollah ambalo limewapeleka wapiganaji nchini Syria kuunga mkono serikali ya Rais Bashar al Assad. 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/11/19/131119115940_blast_afp-5.jpg
Duru zinasema kuwa moja ya milipuko hio, ilisababishwa na mshambuliaji wa kujitoa mhanga, wakati shambulio la pili lilitokana na bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari. 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/11/19/131119115942_blast_reuters-6.jpg
Shirika la habari la Reuters linanukuu kituo cha televisheni cha CCTV, kikionyesha mwanamume mmoja akikimbia kutoka katika ubalozi wa Iran na kisha kujilipua
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/11/19/131119115944_blast_reuters-7.jpg
Balozi wa Iran nchini Beirut alithibitisha kifo cha bwana Ansari, ingawa haijulikani ikiwa alikuwa ndani ya ubalozi au katika jengo jirani 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/11/19/131119115946_blast_ap-8.jpg
Syria imelaani vikali mashambulizi hayo. Mgogoro wa kisiasa nchini Syria umechochea kuongezeka kwa hali ya wasiwasi nchini Lebanon. 

HAYA NI BAADHI TU YA MATUKIO AMBAYO FREE MEDIA TO BLOGS INAJARIBU KUKUHABARISHA