Jumanne, 31 Desemba 2013

NCHI YA MISRI NAYO ILIKUMBWA NA MISUKOSUKO YA HATARI MWAKA 2013

http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2012/12/13/121213160413_egypt_sergey_ponomarev_976x549_sergeyponomarev.jpg 
Wanajeshi wa Misri wanashika doria katika baadhi ya miji mikubwa ambapo maandamano yanafanyika kupinga au kuunga mkono kura ya maoni kuhusu rasimu ya katiba itakayofanyika siku ya Jumamosi
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2012/12/13/121213152614_egypt_sergey_ponomarev_976x549_sergeyponomarev.jpg
Wanajeshi wameruhusiwa kuchukua hatua dhidi ya waandamanaji watakaozua rabsha 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2012/12/13/121213152724_egypt_sergey_ponomarev_976x549_sergeyponomarev.jpg 
Katika mji wa Alexandria ambao ni mji wa bandarini , wananchi asubuhi ya leo walianza kuandamana kuipinga katiba lakini polisi walikuwepo kuwazuia
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2012/12/13/121213152807_egypt_sergey_ponomarev_976x549_sergeyponomarev.jpg
Maandamano yalianza baada ya mhubiri mmoja katika msikiti mmoja kuwashauri waumini kupigia kura ya ndio katiba 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2012/12/13/121213152850_egypt_sergey_ponomarev_976x549_sergeyponomarev.jpg
Waandamanaji mahasimu hawajachoka tangu mapema wiki hii walipoanza kuandamana wakipinga katiba ya rais Morsi huku wengine wakiiunga mkono
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2012/12/13/121213153352_egypt_sergey_ponomarev_976x549_sergeyponomarev.jpg
Waandamanaji wengi wanasema kuwa wataipinga katiba hiyo
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2012/12/13/121213155901_egypt_sergey_ponomarev_976x549_sergeyponomarev.jpg
Hawakutaka kuondoka hata baada ya jeshi kuamrishwa kuwakamata wale watakaokiuka sheria, agizo ambalo wengi wamelitafsiri kama Misri kurejea katika enzi ya kidikteta
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2012/12/13/121213161104_egypt_sergey_ponomarev_976x549_sergeyponomarev.jpg
Wengi walikesha katika medani ya Tahrir kuelezea kero lao dhidi ya katiba mpya

Hakuna maoni: