Jumamosi, 14 Septemba 2013

MATOKEO LIGI KUU ENGLAND 14/09/2013

Wachezaji wa Chelsea
Chelsea yakabwa koo na Everton ya bao 1 bila
Goli la kichwa lililofungwa na mchezaji mpya wa Everton Steven Naismith limemkaribisha Jose Mourinho katika ligi ya premier.
Arsenal watamba 
Arsenal watamba  na kugawa kichapo

Aaron Ramsey alishinda magoli 2 na kuiwezesha timu yake kuinyoa Sunderland 3-1 huku meneja Paolo Di Canio akipewa kadi nyekundu.
Manchester United's Ashley Young won a penalty against Crystal Palace's Kagisho Dikgacoi 
Man U 2-0 Crystal
Newcastle United's Yoan Gouffran, left, is congratulated after scoring against Aston Villa 
 Aston Villa 1-2 Newcastle U
Fulham's Steve Sidwell scores against West Bromwich Albion in the Premier League at Craven Cottage. 
Fulham 1-1 West Bromwich Albion 

Curtis Davies, second right, scores for Hull City against Cardiff City in the Premier League
Hull City 1-1 Cardiff City

MBINU MPYA ZA KUSAFIRISHA MADAWA YA KULEVYA


Dawa za kulevya
Imebainika kuwa miongoni mwa mbinu mpya wanazotumia ni kusafirisha dawa hizo kwa kutumia ndege za mizigo ambapo huweza kuweka dawa za kulevya kwenye mdoli, jarida, makopo ya maziwa ya watoto, vinyago vya kimakonde na kuutuma kama kifurushi kwenda sehemu nyingine. 

MECHI KALI LEO MBEYA CITY CF v YANGA CF UWANJA WA SOKOINE

  v/s    

     MBEYA CITY CF                                                                        YANGA CF