Chelsea yakabwa koo na Everton ya bao 1 bila
Goli la kichwa lililofungwa na mchezaji mpya wa Everton Steven Naismith limemkaribisha Jose Mourinho katika ligi ya premier.
Arsenal watamba
na kugawa kichapo
Aaron Ramsey alishinda magoli 2 na kuiwezesha timu yake kuinyoa Sunderland 3-1 huku meneja Paolo Di Canio akipewa kadi nyekundu.
Man U 2-0 Crystal
Aston Villa 1-2 Newcastle U
Fulham 1-1 West Bromwich Albion
Hull City 1-1 Cardiff City