Jumamosi, 30 Agosti 2014

TAZAMA MAISHA YA WAKIMBIZI WA SUDAN KUSINI YALIVYO YA KUSIKITISHA

http://a.files.bbci.co.uk/worldservice/live/assets/images/2014/08/11/140811110037_01_then-976.jpg 
Zaidi ya miaka 10 tangu kuzuke mapigano Darfur zaidi ya wenyeji milioni mbili wamelazimika kutoroka makwao
http://a.files.bbci.co.uk/worldservice/live/assets/images/2014/08/11/140811110041_02_now-976.jpg
Hamisa alitoroka nyumbani kwake mwaka wa 2003 baada ya wavamizi kuwashambulia na bunduki.Alitorokea milimani akiwa amembeba mmoja wa wajukuu wake 
http://a.files.bbci.co.uk/worldservice/live/assets/images/2014/08/11/140811110045_03_darfurnow_976.jpg
Ukulima ndio uti wa mgongo wa Wasudan Kusini.Kukuibuka vita mifugo mimea na mali ya watu huporwa na kuharibiwa.
http://a.files.bbci.co.uk/worldservice/live/assets/images/2014/08/11/140811110052_4_aeriel-views.jpg
Kuna zaidi ya kambi 27 katika eneo la kati la Darfur
http://a.files.bbci.co.uk/worldservice/live/assets/images/2014/08/11/140811110048_04_darfurnow_976.jpg
Kufuatia mapigano yaliyodumu kwa muda mrefu sasa wakimbizi wameanza kujenga nyumba za kudumu katika kambi hizo za wakimbizi wa ndani kwa ndani 
http://a.files.bbci.co.uk/worldservice/live/assets/images/2014/08/11/140811110056_06_then_976.jpg
Amina (aliyevalia nguo ya kijani kibichi)anaonekana hapa miaka 7 iliyopita katika kisima cha Khamsa.
http://a.files.bbci.co.uk/worldservice/live/assets/images/2014/08/11/140811110058_07_now.jpg
Bado tunakabiliwa na changamoto tele baada ya kuishi hapa kwa zaidi ya miaka 10''anasema Amina ambaye mwenyewe anamtoto mwenye umri wa miak 9
http://a.files.bbci.co.uk/worldservice/live/assets/images/2014/08/11/140811110102_08_976.jpg
Kupata mapato kambini ilikuwa ngumu sana wakati huo kwa Yusuf ambaye alikuwa amejifunza kuoka mikate . Kwa sasa ameoa na anafamilia ya watoto watatu.
http://a.files.bbci.co.uk/worldservice/live/assets/images/2014/08/11/140811110107_09_then_976.jpg
Haja akiwa na kifunga mimba wake Horan mwaka wa 2007 katika kambi ya Hassa Hissa 
http://a.files.bbci.co.uk/worldservice/live/assets/images/2014/08/11/140811110110_10_now_976.jpg
Licha ya kuhama kutoka mako moja hadi mengine maisha bado ni yaleyale tu kwa Haja sasa yeye pamoja na wajukuu wake ni vijakazi wa nyumbani.
http://a.files.bbci.co.uk/worldservice/live/assets/images/2014/08/11/140811110543_11_then-and-now_976.jpg
Rawia alitoka kwakwe mikono mitupu pamoja na mumewe na wanawe .Alikuwa ni mabaki ya chakula na pipa la kutekea maji.
http://a.files.bbci.co.uk/worldservice/live/assets/images/2014/08/11/140811110546_12_now_newarrivals_976.jpg
Mapigano haya huko Darfur yanapembe tofauti kwa hivyo ni vigumu kusuluhisha. Kuna wale wanaopigana na serikali,kunawale wanaopigana kwa misingi ya Dini. Kwa mujibu wa UN zaidi ya watu 390,000 walitoroka makwao mwaka huu.
http://a.files.bbci.co.uk/worldservice/live/assets/images/2014/08/11/140811110549_13_darfur976.jpg
Mkataba wa kusitisha mapigano ya mwaka wa 2011 haukudumu kwani waarabu hawaamini wakristu weusi ambao wengi ni wakulima.
http://a.files.bbci.co.uk/worldservice/live/assets/images/2014/08/11/140811110553_14_darfur_nowhena_976.jpg
Wanawake wa Darfur wakijipaka Hinna tayari kwa hserehe kambini.
http://a.files.bbci.co.uk/worldservice/live/assets/images/2014/08/11/140811110556_15_darfur.jpg
Viongozi wa jamii wanapewa heshma lakini wanasema ukosefu wa ajira umepelekea vijana kuwapuuza na wakati mwengine hata kuwakaidi.
 
endelea kutembelea blog yako ya kijamii inayokuletea matukio yanayoikumba jamii kwa ujumla