Jumanne, 19 Novemba 2013

MASHINE ZA TRA ZAZUA BALAA DSM

 
HAWA NI BAADHI YA WANANCHI WA JIJI LA DAR ES SALAAM WAKIANDAMANA 
 
KUPINGA AMRI YA TRA KUWATAKA WANUNUE MSHINE ZA KI-ELECTRONIC NA 
 
KUZITUMIA KWA SHUGHULI ZA KIBIASHARA

OFISI YA HABARI YASHAMBULIWA JIJINI PARIS UFARANSA

http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/11/18/131118144201_paris-6.jpg 
Msako umeanza mjini Paris Ufaransa, baada ya mtu aliyekuwa amejihami kushambulia ofisi za za vyombo vya habari  
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/11/18/131118144204_paris-7.jpg 
 Mpiga picha mwenye umri wa miaka 27, alijeruhiwa vibaya katika jengo hili la Liberation na dereva mmoja alilazimika kupitia eneo la Champs Elysees kabla ya kuruhisiwa kupita
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/11/18/131118144207_paris-8.jpg
Polisi wanaendelea na uchunguzi wao, huku ulinzi ukiwa umedhibitiwa katika ofisi za vyombo vya habari. Polisi wanamsaka mwanamume aliyevamia ofisi kituo cha televisheni cha BFMTV mnamo siku ya Ijumaa. 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/11/18/131118144211_paris-9.jpg
Mshambuliaji alivamia ofisi hiyo mjini Paris na kuanza kushambulia watu kwa bunduki
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/11/18/131118144209_paris-10.jpg
Polisi sasa wako nje ya ofisi kuu za vyombo vya habari kushika doria mjini Paris
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/11/18/131118144214_paris-11.jpg
Vyombo vya habari mjini Paris vinasema kuwa mtu huyo aliyekuwa amejihami na kumteka nyara dereva mmoja alimwambia kuwa alikuwa amejihami kwa maguruneti
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/11/18/131118144217_paris-12.jpg
Kulikuwa na hofu kuwa mwanamume huyo alikuwa anaelekea katika jengo refuu zaidi mjini Paris la Eiffel
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/11/18/131118144219_paris-13.jpg
Watu wametakiwa kukaa majumbani mwao. Hata hivyo wanasema kuwa mshukiwa ametulia 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/11/18/131118144221_paris-14.jpg
Maafisa wakuu wakiwemo Waziri wa mambo ya ndani Manuel Valls, alizuru ofisi za Liberation baada ya shambulizi