Jumatano, 29 Januari 2014

MSAFARA WA MBITA KWA PICHA NA BBC SEMA KENYA

http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/26/140126080434_mbitacover1_976x549_bbc_nocredit.jpg 
Mbita ni moja wapo wa miji inayozingira Ziwa Victoria.
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/26/140126081435_mbita5_976x549_bbc_nocredit.jpg
Timu ya Sema Kenya ilifika huko kuhamasisha wenyeji kujiunga na mijadala ya utawala katika kipindi kila wiki.
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/26/140126081215_mbita4_976x549_bbc_nocredit.jpg
Msafara huu uliwafikia wengi.
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/22/140122112015_mbita_2_976x549_bbc_nocredit.jpg
Wakazi mbalimbali walijitokeza kusikiliza habari.
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/22/140122111839_mbita_1_976x549_bbc_nocredit.jpg
Walipata nafasi ya kujadili masuala tofauti inayowahusu kama wakazi wa Mbita.
Wakazi wa Mbita walipata burudani na habari kutoka timu ya Sema Kenya walipozuru mji huo katika msafara.

Alhamisi, 23 Januari 2014

UKREINE YAGEUKA UWANJA WA VITA....SIASA MCHEZO MCHAFU

http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/22/140122145158_kiev-protest-1.jpg 
Angalau watu wawili wameuawa katika ghasia kati ya polisi na waandamanaji katika mji mkuu wa Ukraine Kiev.
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/22/140122145200_kiev-protest-2.jpg
Makabiliano hayo ya Jumatano, yalianza baada ya polisi kuanza kuvunja maandamano ya moja ya makundi ya wanaharati 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/22/140122145202_body-bbc.jpg
Viongozi wa mashitaka walithibitisha kuwa watu wawili walifariki kutokana na majeraha ya risasi. Ni watu wa kwanza kufariki kutokana na vurugu tangu kuanza Novemba mwaka jana kutokana na mapendekezo ya serikali kujiunga na muungano wa Ulaya
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/22/140122145204_kiev-protest-4.jpg
Makabiliano hayo yanakuja baada ya siku moja ya kubuniwa sheria mpya za kuharamisha maandamano wiki jana. Bunge liliidhinisha sheria hizo wiki jana na kusababisha vurugu mpya
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/22/140122145206_kiev-protest-5.jpg
Mamia ya watu wamejeruhiwa ingawa baadhi ya vurugu zimelaumiwa kwa kundi moja linalounga siasa kali
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/22/140122145208_kiev-protest-6.jpg
Ghasia za Jumatano, zilianzia katika sehemu ndogo ya barabara kuelekea katika majengo ya bunge .
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/22/140122145210_kiev-protest-7.jpg
Muda mfupi baada ya saa mbili asubuhi, baada ya usiku wa amani, polisi walivamia sehemu ambako waandamanaji hao walikuwa wamekita kambi
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/22/140122145212_kiev-protest-8.jpg
Polisi baadaye walichukua hatua zao, baada ya makabiliano makali na waandamanaji lakini ilipofika mchana na kuvunja vuzuizi
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/22/140122145213_kiev-protest-9.jpg
Waandamanaji walianza, kuwatupia mabomu ya petroli na mawe wakati polisi wa kupambana na ghasia nao waliwatupia magurunedi na risasi za mipira
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/22/140122145215_kiev-protest-10.jpg
Moshi mweusi ulifuka kutokana na magurudumu kuteketezwa wakati wa vurugu hizo mjini Kiev, huku picha za magari ya kivita yakitumiwa kupambana na waandamanaji hao.

Jumatatu, 20 Januari 2014

CHAMA CHA AKIBA NA MIKOPO CHA TAZARA MBEYA CHAFANIKIWA KUTOA MKOPO KWA WANACHAMA WAKE WENYE THAMANI YA BILIONI MOJA

MHASIBU WA CHAMA AKICHEKA NA WANACHAMA
 
 
 
 
 
KAMATI YA MIKOPO WAKIWA BUSY NA KUPITISHA MIKOPO
 
 
 
KARANI WA FEDHA AKIWA MAKINI KUHAKIKISHA HESABU HAZIKOSEWI
ENDELEA KUFUATILIA MATUKIO NA FREE MEDIA TO BLOGS

Jumatano, 15 Januari 2014

KATIBA YA WANANCHI WA MISRI IPO MIKONONI MWAO...!

http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/14/140114112426_egypt_vote_pic_gal_976x549_e.jpg 
Kwa siku mbili zijazo, Wamisri watajua ikiwa watakuwa na katiba mpya au ikiwa rasimu ya katiba inayopigiwa kura haitaidhinishwa.  
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/14/140114112259_egypt_vote_pic_gal_976x549_getty.jpg 
Nchi hii imekuwa ikikumbwa na hali ngumu ya kisiasa tangu mapinduzi ya kiraia yaliyomwondoa mamlakani Hosni Mubarak.
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/14/140114105011_egypt_vote_pic_gal_976x549_reuters.jpg
Baadhi walihisi huo ndio ulikuwa mwisho wa siasa mbaya lakini baadaye rais aliyechaguliwa kihalali Mohammed Morsi, aliondolewa mamlakani na jeshi
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/14/140114112136_egypt_vote_pic_gal_976x549_reuters.jpg
Morsi alikuwa mwanachama wa vuguvugu la Muslim Brotherhood ambalo ikiwa katiba hii itapitishwa ndio itakuwa mwisho wake. Chini ya Katiba mpya Vyama haviwezi kuundwa kwa misingi ya kidini, kabila, jinsia na kijiografia. Bila shaka itakuwa pigo kubwa kwa vuguvugu la Muslim Brotherhood
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/14/140114105247_egypt_vote_pic_gal_976x549_ap.jpg
Misri pia imekuwa ikikumbwa na hali mbaya ya usalama. Mashambulizi ya kulipiza kisasi na ya kuvizia yakiwa jambo la kawaida. Chini ya katiba hii waziri wa ulinzi sharti awe mwanajeshi kama hali ilivyo sasa.
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/14/140114104533_egypt_vote_pic_gal_976x549_ap.jpg
Usalama ulidhibitiwa kote nchini humo kwa hofu ya mashambulizi
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/14/140114111950_egypt_vote_pic_gal_976x549_ap.jpg
Wake kwa waume, wazee kwa vijana wote walijitokeza kwa hamu ya kuipatia Misri mustakabali mwema wa kisiasa

Alhamisi, 2 Januari 2014

TAZAMA PICHA ZILIZOTESA SANA MWAKA 2013

http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/02/140102081008__71929043_01_mali_cigs_afp.jpg 
Kutekwa kwa mji wa Konna nchini Mali kulisababisha Ufaransa kupeleka wanajeshi wake huko kushika doria...hali hii ndiyo ilimpa furaha isiyo na kifani mtu huyu kwani waasi walikuwa wameweka sheria za kiisilamu zilizoharamisha mambo mengi
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/02/140102081024__71929046_02_nigeria_ap.jpg
Timu ya taifa ya Nigeria Super Eagles ndiyo iliyowaondoa mashabiki hawa kutoka katika viti vyao baada ya kushinda kombe la taifa bingwa Afrika. Kombe hilo lilikuwa limewakwepa kwa miaka 13 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/02/140102081038__71929203_zim_ap.jpg
Zimbabwe ilikwenda kwenye debe mara mbili, kupigia kura kura ya maamuzi na uchaguzi mkuu. Mugabe ndiye aliyeshinda na huyu ni mmoja wa mashabiki wake 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/02/140102081050__71929208_04_durbanrace_getty.jpg
Nchini Afrika Kusini mambo yalikuwa mitindo mipya na ya kisasa kwenye mashindano ya mitindo ambayo vijana hawa walishiriki. 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/02/140102081551__71929314_05_m23rebelcamp_reuters.jpg
 Eneo la Mashariki mwa Congo lilivamiwa na waasi wa M23 kwa karibu mwaka 2013 wote, lakini mwishoni baada ya juhudi nyingi za jeshi la DRC na UN waasi hao walisalimu amri baada ya kupata kipigo kikali. 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/02/140102081107__71929421_06_senegal_ap.jpg
Mnamo mwezi Juni, jeshi la Senegal lilimkaribisha Rais Barack Obama kwa ziara yake ya Afrika akianzia nchini humo na kisha kuelekea Afrika Kusini na Tanzania. 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/02/140102081118__71932015_09_westage_retuers.jpg
Shambulizi la kigaidi lilikumba Kenya mwezi Septemba ambapo watu zaidi ya sitini na tano waliuawa baada ya wanamgambo wa Al shabaab kuteka jengo la westgate kwa zaidi ya siku tatu
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/02/140102081130__71932078_09_westgate_getty.jpg
Maombi yalifanywa kote nchini humo hali ilipozidi kuwa mbaya 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/02/140102080914__68449415_08_qunu_lamb.jpg
Disemba dunia iliomboleza kifo cha hayati Nelson Mandela alipofariki akiwa na umri wa miaka 95.Alizaliwa kijijini Qunu na alizikwa tarehe 15 mwezi Disemba.
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/02/140102081149__71932190_13_mandela_afp.jpg
Mjane wa Mandela Garaca Machel na aliyekuwa mke wa Mandela Winnie Mandela wakiomboleza kifo cha mzee Mandela wakati wa mazishi ya shujaa huyo wa Afrika