Jumatano, 29 Januari 2014

MSAFARA WA MBITA KWA PICHA NA BBC SEMA KENYA

http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/26/140126080434_mbitacover1_976x549_bbc_nocredit.jpg 
Mbita ni moja wapo wa miji inayozingira Ziwa Victoria.
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/26/140126081435_mbita5_976x549_bbc_nocredit.jpg
Timu ya Sema Kenya ilifika huko kuhamasisha wenyeji kujiunga na mijadala ya utawala katika kipindi kila wiki.
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/26/140126081215_mbita4_976x549_bbc_nocredit.jpg
Msafara huu uliwafikia wengi.
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/22/140122112015_mbita_2_976x549_bbc_nocredit.jpg
Wakazi mbalimbali walijitokeza kusikiliza habari.
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/22/140122111839_mbita_1_976x549_bbc_nocredit.jpg
Walipata nafasi ya kujadili masuala tofauti inayowahusu kama wakazi wa Mbita.
Wakazi wa Mbita walipata burudani na habari kutoka timu ya Sema Kenya walipozuru mji huo katika msafara.

Hakuna maoni: