Jumapili, 22 Septemba 2013

Al Shabaab walivyolipiza kisasi Kenya


ASKALI AKIWA MAKINI KULINDA AMANI KENYA
 
VIKOSI VYA UOKOAJI VIKIOKOA MAJERUHI HAPO KENYA
RAIA WA KENYA WAKIWA HAWAAMINI KILICHOWAKUTA
 
Taharuki ilianza saa saba mchana Jumamosi baada ya watu wanaokisiwa kuwa kumi kuvamia duka kubwa la Nakumat ndani ya jengo la kifahari la Westgate
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/09/21/130921184536_kenya_attack_976x549_bbc_nocredit.jpg
Baadhi walifanikiwa kunusurika kifo kwa usaidizi wa polisi waliofika mara moja kuanza kukabiliana na washambuliaji 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/09/22/130922064442_kenya_nairobi_attack_976x549_reuters.jpg
Hali ya usalama imeweza kudhibitiwa , eneo lililoshambuliwa limezingirwa na wanajeshi wakisaidiwa na polisi na watu wlaifika kuwatafuta jamaa zao wamezuiwa. 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/09/21/130921191328_kenya_attack_976x549_bbc_nocredit.jpg
Polisi waliweza kufika mara moja katika eneo la shambulio kukabiliana na wapiganaji ambao idadi yao kamili haijaweza kusemwa
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/09/21/130921184854_kenya_attack_976x549_bbc_nocredit.jpg
Polisi wakiwa katika harakati za kuwaokoa baadhi ya wakenya waliokuwemo ndani ya jengo hilo 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/09/21/130921184215_kenya_attack_976x549_bbc_nocredit.jpg 
Washambuliaji wa kundi la kigaidi la Al Shabaab walivamia jengo hilo na kuwapiga risasi kiholela watu waliokuwemo
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/09/22/130922070703_kenya_nairobi_attack_976x549_reuters.jpg 
Baadhi ya manusura waliofanikiwa kuokolewa kutoka katika jengo la Westgate
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/09/22/130922064604_kenya_nairobi_attack_976x549_reuters.jpg 
Kikosi cha wanajeshi wa KDF wanasema kuwa wanafanya kila hali kuhakikisha kuwa wanamgambo walio ndani ya jengo hilo hatimaye wattaweza kukamatwa
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/09/21/130921185007_kenya_attack_976x549_bbc_nocredit.jpg 
Hali ilikuwa mbaya kwani washambuliaji waliwapiga risasi kiholela wakenya waliokuwa ndani ya jengo hilo na hawa wanaonekana kukimbilia usalama wao  


MBEYA CITY FC YAPATA MASHABIKI LUKUKI BAADA YA KUTOA SARE YA GOLI 2-2 NA SIMBA FC HAPO JANA

 KIPINDI CHA PILI KIKIWA KINAENDELEA
 MASHABIKI WAKIWA WANAFUATILIA MECHI KWA UKARIBU 
 MBEYA CITY WAKIWA WAMEPATA GOLI LA PILI
 MBEYA CITY FC WAKISHANGILIA GOLI LAO LA PILI
 MASHABIKI WA MBEYA CITY FC WAKIWA WANASHANGILIA GOLI LA PILI


KOCHA MKUU WA MBEYA CITY FC BWANA MWAMBUSI WA KWANZA KUTOKA KUSHOTO AKIFUATILIA MECHI KWA UMAKINI.
 MASHABIKI WA SIMBA WAKIWA WAMEPOA BAADA YA M BEYA CITY FC KURUDISHA GOLI
 MASHABIKI WA MBEYA CITY FC WAKIWA WENYE FURAHA 
HAPA ILIKUWA NI PATA SHIKA NGUO KUCHANIKA BAADA YA SHABIKI WA SIMBA KUINGIA ENEO LA MASHABIKI WA YANGA.
 MPIRA UMEKWISHA
 WACHEZAJI WA SIMBA WAKIWA WANATOKA NJE YA UWANJA BAADA YA MPIRA KWISHA
 WACHEZAJI WA MBEYA CITY FC WAKIWA WANATOKA UWANJANI BAADA YA MPIRA KWISHA
 MASHABIKI WALIO TOKA MBEYA KUSHANGILIA MBEYA CITY FC WAKIWA NJE YA UWANJA WAKIENDELEA KUSHANGILIA MPIRA.