Jumapili, 22 Septemba 2013

Al Shabaab walivyolipiza kisasi Kenya


ASKALI AKIWA MAKINI KULINDA AMANI KENYA
 
VIKOSI VYA UOKOAJI VIKIOKOA MAJERUHI HAPO KENYA
RAIA WA KENYA WAKIWA HAWAAMINI KILICHOWAKUTA
 
Taharuki ilianza saa saba mchana Jumamosi baada ya watu wanaokisiwa kuwa kumi kuvamia duka kubwa la Nakumat ndani ya jengo la kifahari la Westgate
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/09/21/130921184536_kenya_attack_976x549_bbc_nocredit.jpg
Baadhi walifanikiwa kunusurika kifo kwa usaidizi wa polisi waliofika mara moja kuanza kukabiliana na washambuliaji 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/09/22/130922064442_kenya_nairobi_attack_976x549_reuters.jpg
Hali ya usalama imeweza kudhibitiwa , eneo lililoshambuliwa limezingirwa na wanajeshi wakisaidiwa na polisi na watu wlaifika kuwatafuta jamaa zao wamezuiwa. 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/09/21/130921191328_kenya_attack_976x549_bbc_nocredit.jpg
Polisi waliweza kufika mara moja katika eneo la shambulio kukabiliana na wapiganaji ambao idadi yao kamili haijaweza kusemwa
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/09/21/130921184854_kenya_attack_976x549_bbc_nocredit.jpg
Polisi wakiwa katika harakati za kuwaokoa baadhi ya wakenya waliokuwemo ndani ya jengo hilo 
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/09/21/130921184215_kenya_attack_976x549_bbc_nocredit.jpg 
Washambuliaji wa kundi la kigaidi la Al Shabaab walivamia jengo hilo na kuwapiga risasi kiholela watu waliokuwemo
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/09/22/130922070703_kenya_nairobi_attack_976x549_reuters.jpg 
Baadhi ya manusura waliofanikiwa kuokolewa kutoka katika jengo la Westgate
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/09/22/130922064604_kenya_nairobi_attack_976x549_reuters.jpg 
Kikosi cha wanajeshi wa KDF wanasema kuwa wanafanya kila hali kuhakikisha kuwa wanamgambo walio ndani ya jengo hilo hatimaye wattaweza kukamatwa
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/09/21/130921185007_kenya_attack_976x549_bbc_nocredit.jpg 
Hali ilikuwa mbaya kwani washambuliaji waliwapiga risasi kiholela wakenya waliokuwa ndani ya jengo hilo na hawa wanaonekana kukimbilia usalama wao  


Hakuna maoni: