daaah very sad...ajali mbaya ya magari makubwa iliyotoke mpakani mwa Congo DRC na Zambia
Jumatano, 26 Novemba 2014
NEWS ALERT: MAHAKAMA KUU IMESIMAMISHA MJADALA WA RIPOTI YA ESCROW KUJADILIWA BUNGENI UPDATES:
Tumepata
taarifa muda huu kutoka kwa mtu aliyeko Mahakama Kuu kuwa
kutokana na
taarifa iliyokuwa inaelezwa kuwa jopo la majaji watatu wa
Mahakama Kuu
watasikiliza kesi iliyofunguliwa na IPTL na PAP kuzuia bunge
kujadili
suala la Escrow.
Imeamriwa
na Mahakama Kuu chini ya jopo la majaji watatu kuwa
wamesimamisha
mjadala wa Ripoti ya Escrow hadi hoja za msingi zitakapo
fanyiwa kazi.
CHANZO: ITV TANZANIA
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)