Jumatano, 29 Januari 2014

MSAFARA WA MBITA KWA PICHA NA BBC SEMA KENYA

http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/26/140126080434_mbitacover1_976x549_bbc_nocredit.jpg 
Mbita ni moja wapo wa miji inayozingira Ziwa Victoria.
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/26/140126081435_mbita5_976x549_bbc_nocredit.jpg
Timu ya Sema Kenya ilifika huko kuhamasisha wenyeji kujiunga na mijadala ya utawala katika kipindi kila wiki.
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/26/140126081215_mbita4_976x549_bbc_nocredit.jpg
Msafara huu uliwafikia wengi.
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/22/140122112015_mbita_2_976x549_bbc_nocredit.jpg
Wakazi mbalimbali walijitokeza kusikiliza habari.
http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/01/22/140122111839_mbita_1_976x549_bbc_nocredit.jpg
Walipata nafasi ya kujadili masuala tofauti inayowahusu kama wakazi wa Mbita.
Wakazi wa Mbita walipata burudani na habari kutoka timu ya Sema Kenya walipozuru mji huo katika msafara.