Mwalyego Society's Blog
Kurasa
HOME
NEWS
SPORTS
ENTERTAINMENT
POLITICS
SOCIETIES
ADVERTISE WITH US
OPINIONS
Alhamisi, 28 Agosti 2014
TUNAENDELEA KUWALETEA MATUKIO LIVE KUTOKA HAPA UKUMBI WA ABIRIA TAZARA-MBEYA...UCHAGUZI MKUU TAZARA MBEYA SACCOS LTD
Hawa ndiyo wajumbe tisa waliokabidhiwa jukumu la kuiendesaha TAZARA MBEYA SACCOS LTD
Baadhi ya wanachama wakiwa makini wakifuatilia kinachoendela
baadhi ya wanchama wakiwa wamembeba Mwnyekiti wao mpya Ndg Ally Mkami
Endelea kufuatilia
LIVE KUTOKA UKUMBI WA TAZARA MBEYA...MKUTANO MAALUMU WA UCHAGUZI TAZARA MBEYA SACCOS LTD
Hawa ndiyo waliopita katika kinyang'anyilo cha kamati simamizi...kutoka kulia ni ndg Yunus Bashange..Peter Mushi na Rosemary Kinyaga
Waliko mbele yenu ni wagombea nafasi ya ujumbe wa bodi ya chama...kila moja anajieleza kwa nafasi yake ili apate KURA kwa wanachama
Afisa Ushirika Bi Masuba akitoa maelekezo namna wanachama wanatakiwa kupiga KURA
endelea kufuatilia matukio zaidi
LIVE MUDA HUU...LEO KATIKA MATUKIO NA BLOG YAKO YA KIJAMII...WANACHAMA WA TAZARA MBEYA SACCOS WAFANYA UCHAGUZI WA VIONGOZI WAO
Bi Masuba afisa ushirika mkoa wa Mbeya...kushoto kwake ni Meneja wa chama cha TAZARA MBEYA SACCOS LTD...Bwa Philemon Kaduma
afisa ushirika mkoa wa mbeya Bi Masuba akifafanua baadi ya Ajenda za mkutano huu wa uchaguzi
Hawa ni baadhi ya wanachama wa TAZARA MBEYA SACCOS LTD wakisikiliza kwa makini
endelea kufuatilia
hawa ni wagombea wa nafasi ya kamati simamizi...kutokaka kulia ni ndg Yunus Bashange, Bethuel Kagimbo, Rosemary Kinyaga na Peter Mushi
endelea kufuatilia
Machapisho Mapya
Machapisho ya Zamani
Nyumbani
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)