Alhamisi, 28 Agosti 2014

LIVE MUDA HUU...LEO KATIKA MATUKIO NA BLOG YAKO YA KIJAMII...WANACHAMA WA TAZARA MBEYA SACCOS WAFANYA UCHAGUZI WA VIONGOZI WAO

Bi Masuba afisa ushirika mkoa wa Mbeya...kushoto kwake ni Meneja wa chama cha TAZARA MBEYA SACCOS LTD...Bwa Philemon Kaduma

 afisa ushirika mkoa wa mbeya Bi Masuba akifafanua baadi ya Ajenda za mkutano huu wa uchaguzi





Hawa ni baadhi ya wanachama wa TAZARA MBEYA SACCOS LTD wakisikiliza kwa makini
endelea kufuatilia
 hawa ni wagombea wa nafasi ya kamati simamizi...kutokaka kulia ni ndg Yunus Bashange, Bethuel Kagimbo, Rosemary Kinyaga na Peter Mushi


endelea kufuatilia

Hakuna maoni: