Hawa ndiyo waliopita katika kinyang'anyilo cha kamati simamizi...kutoka kulia ni ndg Yunus Bashange..Peter Mushi na Rosemary Kinyaga
Waliko mbele yenu ni wagombea nafasi ya ujumbe wa bodi ya chama...kila moja anajieleza kwa nafasi yake ili apate KURA kwa wanachama
Afisa Ushirika Bi Masuba akitoa maelekezo namna wanachama wanatakiwa kupiga KURA
endelea kufuatilia matukio zaidi
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni