Alhamisi, 28 Agosti 2014

LIVE KUTOKA UKUMBI WA TAZARA MBEYA...MKUTANO MAALUMU WA UCHAGUZI TAZARA MBEYA SACCOS LTD

 Hawa ndiyo waliopita katika kinyang'anyilo cha kamati simamizi...kutoka kulia ni ndg Yunus Bashange..Peter Mushi na Rosemary Kinyaga
 Waliko mbele yenu ni wagombea nafasi ya ujumbe wa bodi ya chama...kila moja anajieleza kwa nafasi yake ili apate KURA kwa wanachama

 Afisa Ushirika Bi Masuba akitoa maelekezo namna wanachama wanatakiwa kupiga KURA


endelea kufuatilia matukio zaidi

Hakuna maoni: