
Mzee Muhidin Gurumo akimshukuru Diamond kwa kumzawadia gari jambo ambalo kwake ni kama ndoto kwakuwa amestaafu akiwa hana usafiri “Yaani sijui hata mke wangu nikimwambia atanielewaje manake ni jambo la kushangaza kwangu” Alisema mzee Gurumo




Diamond akizungumza machache kushukuru mashabiki wake na watu mbalimbali waliomsaidia kufikia hapo alipo
Diamond na madansa wake wakitumbuiza katika hafla hiyo



Mwigizaji Jaquiline Wolper naye alitia timu
Mkurugenzi wa ASET Asha Baraka akiwa na mama yake Diamond
Wadau mbalimbali wakiwa katika hafla hiyo
Mzee Gurumo akihojiwa na waandishi wa habari
Hawa
marafiki zangu wakakumbushia miaka kadhaa waliyofunga ndoa kwa
kulishana mishikaki ilipendeza katikati ni Nancy Sumari akishuhudia
Kulia ni Irene Uwoya kushoto Salma Msangi
Kushoto AY na Salama Jabir wakipiga story na wadau mbalimbali
Kutoka kulia ni Raymond Kigosi, Irene Uwoya na JB wakiwa katika hafla hiyo.










Hakuna maoni:
Chapisha Maoni