Mzee Muhidin Gurumo akimshukuru Diamond kwa kumzawadia gari jambo ambalo kwake ni kama ndoto kwakuwa amestaafu akiwa hana usafiri “Yaani sijui hata mke wangu nikimwambia atanielewaje manake ni jambo la kushangaza kwangu” Alisema mzee Gurumo Diamond akimuongoza mzee Gurumo kwenda kumuonyesha gari Diamond akimuonyesha Mzee Gurumo gari Akimuelekeza jambo baada ya mzee Gurumo kuingia kwenye gari
Diamond akizungumza machache kushukuru mashabiki wake na watu mbalimbali waliomsaidia kufikia hapo alipo
Diamond na madansa wake wakitumbuiza katika hafla hiyo Wasanii mbalimbali pamoja na MaDJ walikuwepo katika hafla hiyo hapa ni Dully Sykes na MawanaFA wakiwa na baadhi ya MaDJ Maurice Njowoka kutoka Cocacola wa pili kutoka kushoto na Mwanamuziki AY wa tatu kutoka kushoto pamoja na wadau wengine wakiwa katika hafla hiyo
Mwigizaji Jaquiline Wolper naye alitia timu Mkurugenzi wa ASET Asha Baraka akiwa na mama yake Diamond Wadau mbalimbali wakiwa katika hafla hiyo Mzee Gurumo akihojiwa na waandishi wa habari Hawa
marafiki zangu wakakumbushia miaka kadhaa waliyofunga ndoa kwa
kulishana mishikaki ilipendeza katikati ni Nancy Sumari akishuhudia Kulia ni Irene Uwoya kushoto Salma Msangi Kushoto AY na Salama Jabir wakipiga story na wadau mbalimbali Kutoka kulia ni Raymond Kigosi, Irene Uwoya na JB wakiwa katika hafla hiyo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni