Wapiganaji wa Al Shabaab
Hizi ni silaha za Al Shabaab walizonasa wanajeshi wa AU
Kundi la wapiganaji wa kisomali la al-Shabaab,limevamia jumba la
kifahari lenye maduka na mikahawa nchini Kenya. Al Shabaab lenya mizizi
yake nchini Somalia, limeweza kuondolewa kutoka miji mikubwa ya Somalia
ikiwemo Mogadishu na sehemu zengine za Somalia , ingawa bado linasalia
kuwa tisho kubwa kwa kanda nzima.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni