Jumatatu, 23 Septemba 2013

JAMAA WANAOITIKISA KENYA NDIYO HAWA HAPA


 Wapiganaji wa Al Shabaab 
Hizi ni silaha za Al Shabaab walizonasa wanajeshi wa AU
Kundi la wapiganaji wa kisomali la al-Shabaab,limevamia jumba la kifahari lenye maduka na mikahawa nchini Kenya. Al Shabaab lenya mizizi yake nchini Somalia, limeweza kuondolewa kutoka miji mikubwa ya Somalia ikiwemo Mogadishu na sehemu zengine za Somalia , ingawa bado linasalia kuwa tisho kubwa kwa kanda nzima.

Hakuna maoni: