kimbunga nchini Marekani chasababisha uharibifu mkubwa
Kimbunga kikali kimeyakumba
maeneo kadha ya Marekani, kikiharibu majengo na magari katika majimbo ya
Illinois, Indiana na Kentucky.
Watu wapatao watano wameuawa katika kimbunga
hicho na inahofiwa kuwa mamia ya watu huenda wamejeruhiwa katika
kimbunga hicho kikali.Idadi kubwa ya watu wanasemekana kunasa katika majengo.
Wataalam wa hali ya hewa wanasema kimbunga hicho kitaathiri watu milioni 53 katika maeneo hayo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni