Jumatano, 3 Desemba 2014

HIPI PUNDE....MLIPUKO MKUBWA WATOKEA HUKO MOGADISHU-SOMALIA

 
Mlipuko mkubwa umetokea katika mji wa Mogadishu nchini Somali karibu na uwanja wa ndege.
Duru zimearifu kuwa mlipuko huo huenda umesababishwa na mtu aliyejitolea muhanga aliyejilipua ndani ya gari.
Kundi la wapiganaji wa kiislamu la Al- Shaabab mara kwa mara hutumia milipuko ya magari, lakini kufikia sasa halijakiri kuhusika na mlipuko huo.
Haijajulikana ni watu wangapi wameuwawa.

CHANZO NA: BBC SWAHILI

Hakuna maoni: