Jumatatu, 1 Juni 2015

KAZI YA KUTANGAZA NIA NDANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) BADO INAENDELEA...NI ZAMU YA MWANDOSYA MBEYA


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, (Kazi Maalum), Profesa Mark Mwandosya.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, (Kazi Maalum), Profesa Mark Mwandosya, anatarajia kutangaza nia ya kugombea urais leo Juni Mosi na kuchukua fomu Juni tatu mwaka huu
.

Hakuna maoni: