Jumanne, 28 Julai 2015

MZIMU WA AJALI ZA BARABARANI UNAENDELEA KUTUMALIZA...EEE MUNGU TUSAIDIE




Watu wanne wanasadikiwa kufariki dunia baada ya Basi la Kampuni ya Sabuni Express linalofanya safari zake kati ya Karagwe na Mwanza kugongana uso kwa uso na Gari ndogo aina ya Toyota Land Cruiser iliyokuwa imebeba Masister eneo la Bugorora,ikitokea Bukoba mjini kuelekea Mutukura.

Chanzo na mwandishi wa ITV na Radio One

Hakuna maoni: