Jumamosi, 7 Septemba 2013

MWANMZIKI MAARUFU WA BONGO FLEVA REHEMA CHALAMILA "RAY C" AFUNGUKA



Mwanadada  anayejipanga kurejea kwenye gemu la Bongo Fleva kwa kishindo, Rehema Chalamila ‘Ray C’ amefunguka ya moyoni tena  akisema kuwa anamshukuru Mungu kwa kupona madhara ya madawa ya kulevya bila kupata matatizo mengine ya kiafya huku akifafanua suala la

Kenya na Nigeria kushirikiana kibiashara


Ziara ya Godluck ni ya kwanza rasmi nchini Kenya
Kenya na Nigeria zimetia saini mkataba utakaoimarisha ushirikiano wa kibiashara kati ya nchi hizo mbili.

Katika taarifa ya pamoja , Rais Kenyatta na mwenzake wa Nigeria Goodluck Jonathan pia walikubaliana kufanya kazi pamoja katika sekta ya kilimo na uvuvi na mifugo.
Serikali hizo mbili zimesaini makubaliano ya pamoja kuhusu uhamiaji ambapo huenda visa zikaondolewa kwa wanigeria na wakenya , swala la uhalifu, biashara haramu ya mihadarati na kuimarisha biashara kati ya nchi hizo mbili.

WAAUSTRALIA WAMALIZA KUPIGA KURA

Wapihaji kura wa Australia wasubiri kwenye foleni
Raia wa Australia wamemaliza kupiga kura katika uchaguzi mkuu ambapo waziri mkuu wa chama cha Labor, Kevin Rudd, anakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa Tonny Abbott.

Kura za maoni za hivi karibuni zinaonesha Bwana Abbot na chama chake cha Liberal-National akiongoza, lakini wanasiasa wote wawili wanasema matokeo hayatabiriki na waliwaomba wafuasi wao wapige kura.
Foleni zilikuwa ndefu katika vituo vya kupiga kura - katika sheria ya

MICHUANO YA KOPA COCA COLA NYANDA ZA JUU KUSINI YAINGIA DOSARI

Iringa yasusia Mashindano baada ya kulazimishwa kucheza na kufungwa na Mbeya City

Iringa FC Kopa Coca Cola wakitoka uwanjani wakiwa hawaamini kilichotendeka dhidi yao

Mbeya City FC chini ya umri wa miaka 15 Kopa Coca Cola

Mbeya City FC chini ya miaka 15 kopa Coca Cola wakiwa katika nyuso za furaha baada ya kuichabanga Iringa Fc katika viwanja vya Iyunga Mbeya

Baadhi ya wapenzi wa mpira wa miguu waliofurika kuangalia michuano ya Kopa Coca Cola viwanja vya Iyunga Mbeya

Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!


 Staa muuza nyago kwenye video za wasanii wa muziki wa kizazi kipya na filamu za Kibongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ na shosti wake, Mellisa Edward kabla ya kupandishwa kizimbani kwa msala wa dawa za kulevya ‘unga’ Afrika Kusini waliingizwa kwenye chumba cha mateso kwa saa 24 ili kutaja waliowatuma.

Habari kutoka kwa chanzo chetu kilichopo jijini Johannesburg nchini humo zilidai kuwa baada ya kukamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Oliver Tambo, walipelekwa polisi ambapo walichukuliwa maelezo.