Jumamosi, 7 Septemba 2013

MICHUANO YA KOPA COCA COLA NYANDA ZA JUU KUSINI YAINGIA DOSARI

Iringa yasusia Mashindano baada ya kulazimishwa kucheza na kufungwa na Mbeya City

Iringa FC Kopa Coca Cola wakitoka uwanjani wakiwa hawaamini kilichotendeka dhidi yao

Mbeya City FC chini ya umri wa miaka 15 Kopa Coca Cola

Mbeya City FC chini ya miaka 15 kopa Coca Cola wakiwa katika nyuso za furaha baada ya kuichabanga Iringa Fc katika viwanja vya Iyunga Mbeya

Baadhi ya wapenzi wa mpira wa miguu waliofurika kuangalia michuano ya Kopa Coca Cola viwanja vya Iyunga Mbeya

Hakuna maoni: