Chelsea yashindwa kutamba mbele ya Bayern URFA Super CUP
Hivi ndivyo ilivyokuwa kwenye mechi ya jana...Ndani ya Dak 90 timu hizo zilikuwa (2-2)
Wachezaji wa Bayern wakifurahia ushindi wao baada ya kuiondosha Chelsea kwa Penalty (5-4) baada ya Rumelo Lukaku kukosa Penalty ya mwisho
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni