Jumamosi, 31 Agosti 2013

Chelsea yashindwa kutamba mbele ya Bayern URFA Super CUP



Hivi ndivyo ilivyokuwa kwenye mechi ya jana...Ndani ya Dak 90 timu hizo zilikuwa (2-2)

Wachezaji wa Bayern wakifurahia ushindi wao baada ya kuiondosha Chelsea kwa Penalty (5-4) baada ya Rumelo Lukaku kukosa Penalty ya mwisho

Hakuna maoni: