Jumamosi, 31 Agosti 2013

TAZARA yagawanyika

Hapa ni Stesheni ya Shirika la Reli la Tanzania na Zambia Mbeya
Hawa ni Baadhi ya Wafanyakazi wa Stesheni mbalimbali wakiwa kwenye mshikamano kushinikiza uongozi wa shirika hilo kuwapa mishahara yao ya miezi minne sasa
Kwa nyuso za huzuni kabisa wanyakazi wa shirika la reli ya Tanzania na Zambia-Mbeya
Kushoto kwako ni mimi Alex Mwalyego nikijaribu kupata habari kadhaa kutoka kwa baadhi ya wafanyakazi wa shirika hilo
Hapa wafanyakazi wakiondoka kwa huzuni bila kupata jibu lolote nini hatima ya mishahara yao

Hakuna maoni: