Jumatatu, 2 Septemba 2013

Rais wa Zamani wa Afrika kusini arejeshwa nyumbani baada ya kulazwa hospitalini kwa muda mrefu

An ambulance carrying former South African president Nelson Mandela arrives at his home, September 1, 2013, Johannesburg
Polisi wakimsindikiza kwenda nyumbani wakiwa na gari la wagonjwa

File picture shows Nelson Mandela giving a news conference in Johannesburg on June 14, 2005

South African former President Nelson Mandela waves as he arrives at a polling station in Johannesburg on April 22, 2009
Siku moja baada ya kutolewa hospitali Mzee Mandela akiwa nyumbani siku ya Juma Pili lakini serikali ya Afrika Kusini imesema hali yake bado ni mbaya
Mzee Mandela alisherehekea siku yake ya kuzaliwa na kutimiza miaka 95 akiwa kalazwa hosipitali akiwa hajitambui

Hakuna maoni: