Ijumaa, 6 Septemba 2013

FASTJET YAJA KWA NGUVU MPYA


Kampuni ya Ndege ya FastJet kutaoa huduma za usafirri wa Ndege kwa bei nafuu

Kama umeshafanya maandalizi ya safari yako kati ya Dar es Salaam na Johannesburg tarehe 27 mwezi Septemba, tuambie kwanini ungependa kwenda Afrika ya Kusini, kupitia sehemu ya maoni hapo chini.

Nauli zinaanzia Tsh 160,000 (Bila gharama ya kodi), Safari zitaanza tarehe 27 Septemba, na itapaa mara tatu kwa wiki. Tembelea www.fastjet.com ili kufanya maandalizi ya safari yako sasa.


Safari zingine ambazo inatarajia kuzitoa ni Dar Es Salaam-Mbeya kwa Tshs 32,000/= na Dar Es Salaam-Kilimanjaro kwa Tshs 32,000/=

Hakuna maoni: