Hayawi hayawi sasa yamekuwa-ndoto zatimia
Madereva wakiwa na furaha isiyo kifani baada ya kupata pikipiki
Meneja wa TAZARA MBEYA SACCOS Ndg Philemon Kaduma (kulia) na Mjumbe wa Bodi ya Chama Ndg Dennis Ngaraguza (kushoto) wakikabidhi pikipiki kwa madereva.
Meneja wa TAZARA MBEYA SACCOS Ndg
Philemon Kaduma (kushoto) na Mjumbe wa Bodi ya Chama Ndg Dennis
Ngaraguza (kulia) wakitoa maelezo jinsi watakavyo nufaika na mikopo hiyo
ya pikipiki
Mjumbe wa Bodi ya Chama cha TAZARA MBEYA SACCOS Ndg Dennis Ngaraguza akiwapongeza wajasiriamali hao na jinsi ya kuzitumia pikipiki hizo ili ziweze kuwanufaisha na kuinua maisha yao.
Ofisi za TAZARA MBEYA SACCOS LTD zilizopo Iyunga-Mbeya kandokando mwa barabara ya Tunduma-Mbeya
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni