Ijumaa, 6 Septemba 2013

TAZARA MBEYA SACCOS YATOA MIKOPO YA PIKIPIKI (BODABODA) MKOA WA MBEYA

Hayawi hayawi sasa yamekuwa-ndoto zatimia

Madereva wakiwa na furaha isiyo kifani baada ya kupata pikipiki

Meneja wa TAZARA MBEYA SACCOS Ndg Philemon Kaduma (kulia) na Mjumbe wa Bodi ya Chama Ndg Dennis Ngaraguza (kushoto) wakikabidhi pikipiki kwa madereva.

Meneja wa TAZARA MBEYA SACCOS Ndg Philemon Kaduma (kushoto) na Mjumbe wa Bodi ya Chama Ndg Dennis Ngaraguza (kulia) wakitoa maelezo jinsi watakavyo nufaika na mikopo hiyo ya pikipiki

 Mjumbe wa Bodi ya Chama cha TAZARA MBEYA SACCOS Ndg Dennis Ngaraguza akiwapongeza wajasiriamali hao na jinsi ya kuzitumia pikipiki hizo  ili ziweze kuwanufaisha na kuinua maisha yao.

Ofisi za TAZARA MBEYA SACCOS LTD zilizopo Iyunga-Mbeya kandokando mwa barabara ya Tunduma-Mbeya
 

Hakuna maoni: