Bosi wa Chelsea Jose Mourinho
Asema Ozil kusaini mkataba na Arsenal ataifanya Club hiyo kuwa hadhi kubwa Duniani, na ndiyo maana waliamua kutomuuza Demba Ba kwenda katika Club hiyo yenye makazi yake katika jiji la London.
"Ozil ni mtu wa kuigwa na mtu yeyote, yeye ni namba kumi bora duniani .Amefanya mambo kuwa mepesi kwangu na kwa timu yake pia kwa maamuzi aliyo yafanya"
"Kila mtu anampenda..vitu walivyofanya akina Luis Figo na Zinedine Zidane vinaonekana kwake" alisema Bosi huyo wa the Blus
Morinho amesema kumuuza Ozil kwa Club hiyo ya Arsenal kumemfanya ashindwe kuwapa Demba Ba kwa mkopo hivyo ndiyo maana kumeongezeka kwa upinzani mkupwa kwenye Ligi.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni