Jumatano, 4 Septemba 2013

Jose Mourinho amfananisha Mesut Ozil na akina Figo na Zidane

Ten out of ten: Jose's a big fan of Arsenal's new boy Mesut Ozil
Bosi wa Chelsea Jose Mourinho

Asema Ozil kusaini mkataba na Arsenal ataifanya Club hiyo kuwa hadhi kubwa Duniani, na ndiyo maana waliamua kutomuuza Demba Ba kwenda katika Club hiyo yenye makazi yake katika jiji la London.

"Ozil ni mtu wa kuigwa na mtu yeyote, yeye ni namba kumi bora duniani .Amefanya mambo kuwa mepesi kwangu na kwa timu yake pia kwa maamuzi aliyo yafanya"

"Kila mtu anampenda..vitu walivyofanya akina Luis Figo na Zinedine Zidane vinaonekana kwake" alisema Bosi huyo wa the Blus

Morinho amesema kumuuza Ozil kwa Club hiyo ya Arsenal kumemfanya ashindwe kuwapa Demba Ba kwa mkopo hivyo ndiyo maana kumeongezeka kwa upinzani mkupwa kwenye Ligi.


Hakuna maoni: