Alhamisi, 5 Septemba 2013

MICHUANA YA KOPA COCA COLA CHINI YA MIAKA 15 IKIENDELEA KATIKA VIWANJA VYA IYUNGA-MBEYA

Timu ya Sumbawanga ikijinoa kwa mazoezi katika viwanja vya Iyunga-Mbeya
Sumbawanga FC Kopa Coca Cola

Nahodha wa timu ya Sumbawanga akiongoza mazoezi

Mwalimu wa michezo timu ya Sumbawanga FC kopa Coca Cola

Waalimu wa timu ya Sumbawanga wakitoa Mazoezi kwa vijana wao

Sumbawanga FC kopa Coca Cola

Hakuna maoni: