Jumanne, 10 Septemba 2013

UKISTAAJABU YA MUSA......?


Photo: Katika hali isiyo ya kawaida, mbunge mmoja nchini Jordan alifyatua risasi (AK-47) ndani ya bunge baada ya kutokea mabishano kati yake na mbunge mwenzake ambaye ni Spika wa bunge.

...Imekuwa ni kawaida kwa Wabunge wa Jordan kushikana mashati na kurushiana ngumi.

Endelea kusoma zaidi hapa => http://bit.ly/1eAODG4

Katika hali isiyo ya kawaida, mbunge mmoja nchini Jordan alifyatua risasi (AK-47) ndani ya bunge baada ya kutokea mabishano kati yake na mbunge mwenzake ambaye ni Spika wa bunge.

...Imekuwa ni kawaida kwa Wabunge wa Jordan kushikana mashati na kurushiana ngumi.

Hakuna maoni: