

Katika hali isiyo ya kawaida, mbunge mmoja nchini Jordan alifyatua risasi (AK-47) ndani ya bunge baada ya kutokea mabishano kati yake na mbunge mwenzake ambaye ni Spika wa bunge.
...Imekuwa ni kawaida kwa Wabunge wa Jordan kushikana mashati na kurushiana ngumi.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni