Jumapili, 15 Septemba 2013

KWA UFUPI na MATUKIO KATIKA PICHA

Wapiganaji wa Seleka  mjini Bangui waliponyakua madaraka mwezi March
Brazzaville yatuma askari zaidi CAR
Congo-Brazzaville imezidisha zaidi ya mara dufu idadi ya askari wake katika kikosi cha kuweka amani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Wenyeviti wa vyama vya Siasa vya CHADEMA, CUF na NCCR-Mageuzi leo wamekukutana na wahariri na waandishi wa habari kueleza mikakati na mbinu watakazozitumia kunusuru Taifa lisiingie kwenye utungaji wa Katiba Mpya itakayobeba masilahi ya chama tawala.
Askofu Ignatius Kattey 
Askofu aachiliwa huru huko Nigeria
Kiongozi mmoja wa kanisa la Anglikana la Nigeria ambaye alitekwa nyara zaidi ya majuma mawili yaliyopita, ameachiliwa huru.
 
Polisi Simiyu yatoa ripoti ukatili wa Dagashida, fisi wakoleza mauaji
Wananchi wa Simiyu wakiwa kwenye mkutano wa pamoja kujadili suluhisho la mauaji ya kikatili eneo lao
 
Dawa ya Mifugo yatengeneza GONGO Dar...!
Jiko maarufu kama mtambo wa Gongo  

Hakuna maoni: