-
Mwenyeji wa mji wa Cape Town nchini Afrika Kusini akifanya mazoezi yake katika moja ya kumbi za mazoezi mnamo Jumatatu , baada ya msimu wa baridi ambao uliacha eneo hilo likuwa limejaa theluji.
-
Hapa, mwanariadha maarufu wa Ethiopia, Kenenisa Bekele, 31, anaonekana akifanya mazoezi nje ya kambi ya mazoezi mjini Addis Ababa mnamo Jumapili. Mwanariadha huyo wa mbio za masafa marefu, anayeshikilia rekodi ya dunia katika mbio za mita 5,000 na 10,000 anasema bado hajatafakari kuhusu kusalimu amri katika riadha anajianda kwa michezo ya olimpiki itakayofanyika Rio mwaka 2014.








Hakuna maoni:
Chapisha Maoni