Hapa,
mwanariadha maarufu wa Ethiopia, Kenenisa Bekele, 31, anaonekana
akifanya mazoezi nje ya kambi ya mazoezi mjini Addis Ababa mnamo
Jumapili. Mwanariadha huyo wa mbio za masafa marefu, anayeshikilia
rekodi ya dunia katika mbio za mita 5,000 na 10,000 anasema bado
hajatafakari kuhusu kusalimu amri katika riadha anajianda kwa michezo ya
olimpiki itakayofanyika Rio mwaka 2014.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni